Psalms 69:1-2
Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki
(Kwa Mwimbishaji: Mtindo wa Yungiyungi. Zaburi ya Daudi)
1 aEe Mungu, niokoe,
kwa maana maji yamenifika shingoni.
2 bNinazama kwenye vilindi vya matope,
pasipo mahali pa kukanyaga,
Nimefika kwenye maji makuu,
mafuriko yamenigharikisha.
Copyright information for
SwhKC